Mtao "Ukosefu wa utulivu wa kiakili na usimamizi mubovu wa mchezo umezigharimu timu za Afrika"
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Podcast Index
Parcourez les podcasts par catégorie, ouvrez les épisodes récents et téléchargez l’audio pour l’écouter hors ligne.
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS
In Focus by The Hindu
The Hindu
Radio Elche
Cadena SER
Radio Albacete
Cadena SER
Vision Vitals
e-con Systems
SER Norte de Extremadura
Cadena SER
Real Talk with Zuby
Zuby
HSBC Global Viewpoint
HSBC
The BelTel
Belfast Telegraph
The Loren Piretra Show
Loren Piretra
Charlotte Hornets News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
The LA Report
LAist Studios
Pro a proti
Český rozhlas
Arkansas Razorbacks Basketball News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Marcus Lush Nights
Newstalk ZB
NDR Info - Nachrichten
NDR Info
Changement d'époque en cours
Converteo
Naughty But Nice with Rob Shuter
iHeartPodcasts
In-depth News Features | NHK WORLD-JAPAN News
NHK WORLD-JAPAN
Glenn Diesen - Greater Eurasia Podcast
Glenn Diesen
EVN Report Podcasts
EVN Report
The Week in Review - EVN Report
EVN Report
Vitamin X - der Podcast
Salim Samatou
Macro met Boot en Mujagić | BNR
BNR Nieuwsradio
M105 en rattrapage
M105
Cal Thomas Commentary
Cal Thomas Commentary
Texans All Access
Houston Texans
Madrid Informativos - RNE
Radio Nacional
Radio Alcoy
Cadena SER
Extremadura Informativos
Radio Nacional
San Jose Sharks News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Virginia Beach News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Boston College Eagles Football Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Fightful Overbooked
Fightful, Inc.
Hattrick
Bold
Actualités
SBS
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.
Katika Siku ya 22 ya Kombe la Dunia la FIFA, Ureno iliwashinda Kroeshia katika mechi ya mwisho ya Kombe la Dunia ya Luka Modrić, Uhispania ili icharaza Austria, na Uswisi ikaishinda Algeria na kufuzu kwa Raundi ya 16.
Wanafunzi wakimbizi wanajenga upya maisha yao nchini Australia kupitia mpango mpya wa majaribio ya makazi, unaounganisha masomo yao ya chuo kikuu na viwanda ambapo kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kama vile uuguzi.
Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.
Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.
Bei ya petroli imeshuka hadi viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzo wa 2022. Taasisi ya Petroli ya Australia inasema wastani wa kitaifa wa lita moja ya mafuta yasiyo na risasi ulishuka zaidi ya senti 6 wiki iliyopita...
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao mu...
Sio kutia chumvi tunaposikia kwamba Kombe la Dunia la FIFA lina tarajiwa kuleta dunia pamoja katika mwezi wa Juni. Baada ya yote, mpira wa miguu unajulikana kama mchezo maarufu zaidi duniani.
Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.
Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers anasema wafanyakazi, wanunuzi wa nyumba za kwanza na vizazi vijavyo watafaidika na sheria zenye utata za mageuzi ya kodi ambazo zimepitishwa hivi karibuni bungeni.Polisi warusha ma...
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Nchini Australia, unaweza ona bendera tatu zikipeperushwa pamoja: Bendera ya Taifa ya Australia, Bendera ya Waaborijini na Bendera ya Watu wa visiwa vya Torres Strait.
Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuua watu wasiopungua 32 pamoja nakuwajeruhi mamia.
In a recent study of LGBTQIA+ asylum seekers and refugees, nature was used not just as a meeting place, but as an environment where participants felt safe without being questioned or judged. - Katika utafiti wa hivi kari...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetahadharisha umma kuhusu kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa Ebola.
Lionel Messi amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, akifunga mara mbili nakusaidia Argentina kuishinda Austria 2-0 mjini Dallas, na kujihakikishia nafasi ya kwanza katika Kundi J, pamoja na nafasi katika h...
Chama cha Greens kimeita mpango wa serikali wa kurekebisha Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu kuwa sheria 'isiyo ya kibinadamu'.
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu chakula cha starehe wakati wa majira ya baridi?
Remplissez le formulaire ci-dessous. Veillez à sélectionner à la fois Pays et Genres.
Envoyez-nous un message ci-dessous. Nous vous répondrons dans les 24 heures.